Sunday, 4 January 2015

TAASISI YA WAZALENDO TANZANIA

Taarifa ya uteuzi wa viongozi wa Mkoa wa Mwanza tarehe 04/01/2015

Walioteuliwa ni:-

1: Ndg. Hamza Shido- Mwenyekiti

2: Ndg. Robert Gwanchele- Katibu

3: Ndg. Jensen Manyerere- Hazina na Maadili

4: Ndg.Kheri James- Habari na Maelezo

5: Ndg. Mtaalam Kanoute- Elimu na Jamii

6: Ndg. Jane Kajoke- Jinsia na Watoto


Taasisi ya wazalendo Taifa inawatakia majukumu mema uongozi wa wazalendo mkoa wa Mwanza




©Imetolewa na Idara ya Habari na Maelezo Taifa

Hassan Husein- Katibu

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Popular Posts

Recent Posts

Recent Posts Widget

Fellow Bloggers